KATIBU KIPTOO ASEMA UCHUMI WA KENYA ULIKUWA WA WASTANI MWAKA WA 2025 MFUMUKO WA BEI ULIPOPUNGUA
Katibu katika wizara ya fedha Chris Kiptoo ametangaza kwamba uchumi wa Kenya uliimarika mwaka wa 2025, huku mfumuko wa bei ukipunguza mzigo kwa wakenya kupitia kupungua kwa bei ya bidhaa.…