WIZARA YA ELIMU IMETAKIWA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA MASOMO KWA WATOTO YATIMA NA WASIOJIWEZA
Wito umetolewa kwa serikali kwa ushirikiano na wizara ya elimu kuweka mikakati kuwasaidia watoto kutoka familia maskini na mayatima wanaopaswa kujiunga na Gredi Ya Kumi . Wadau Mbalimbali Katika Sekta…