SABA SABA YA AMANI
Wanaharakati na makundi ya kutetea haki za kibinadamu, sasa yanawataka wakenya kutoka matabaka mbalimbali kujitokeza kushiriki maandamano ya Sab Saba. Wanaharakati hao wamesema watatembea hadi katika bunge la kitaifa, wakilalamikia…
