SENETA CHESANG AKANUSHA UHUSIANO NA KASHFA YA ZABUNI YA KSH.60M YA HARAMBEE HOUSE
Seneta wa Trans Nzoia Allan Chesang ametupilia mbali kuhusishwa na kesi ya ulaghai iliyohusisha washukiwa saba waliokamatwa katika Harambee House.Hii ni baada ya ripoti ya gazeti la humu nchini siku…
