WAUGUZI ELGEIYO MARAKWET WAJIUNGA NA MGOMO WA KITAIFA
Wauguzi katika kaunti ya elgeyo marakwet wamejiunga na mgomo wa kitaifa wa wahudumu hao wa afya, wakilalamikia kile walichokitaja kuwa ni kutotekelezwa kwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu maslahi na…
