ARGENTINA YATINGA TENA FAINALI KOMBE LA DUNIA
Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Argentina wamefurika mitaani kusherehekea ushindi wa mabingwa hao watetezi wa Kombe la Dunia, baada ya kuichapa England mabao 2-1 na kutinga fainali ya Kombe…
Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Argentina wamefurika mitaani kusherehekea ushindi wa mabingwa hao watetezi wa Kombe la Dunia, baada ya kuichapa England mabao 2-1 na kutinga fainali ya Kombe…
Naibu Inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat, ameta onyo kali kwa makundi ya wahuni, akisema yatakabiliwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika eneo la Moi’s Bridge kaunti ya Uasin…
Popular Rift Valley MC and entertainer DJ Nosh, famously known as The Valley Boy, has challenged artists to think beyond performances and streaming by embracing branded merchandise as an additional…
Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu. Ufaransa ambayo imeishaingia…
Wito umetolewa kwa jamii za eneo la Bonde la Kerio kudumisha Amani na umoja na kujitenga na visa ambavyo vinasababisha ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Akizungumza katika hafla ya…
Wakaazi katika kaunti ya Pokot Magharibi, wametoa wito kwa viongozi kuweka kando tofauti zao kisiasa hasa kauli mbiu za massage na 5g ambazo ni mirengo za kisiasa katika kaunti hiyo…
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Moroto ameipongeza serikali kuu kwa msaada ambao ilitoa kwa shule ya msingi ya Nasokol kufuatia mkasa wa moto ulioteketeza bweni la…
Lionel Messi na timu yake ya Argentina atakabana koo na Misri kutafuta tiketi ya robo fainali ya Kombe la Dunia. Nyota huyo analenga kuendeleza umahiri wake katika mbio za kutwaa…
Seneta wa Kaunti ya Baringo, Vincent Chemitei, ameahidi kushinikiza walimu wanaofanya kazi katika eneo la bunge la Eldama Ravine kujumuishwa katika orodha ya wale wanaonufaika na marupurupu ya kufanya kazi…
Katika juhudi za kukabili tatizo la utapia-mlo miongoni mwa watoto wachanga katika kaunti ya Elgeiyo Marakwet, wakaazi wa Kaunti hiyo wamehimizwa kukumbatia kilimo cha viazi vitamu. Wito huu umetolewa, huku…