WANAFUNZI 16 WAMEDHIBITISHWA KUFARIKI KATIKA MKASA WA MOTO KWENYE BWENI LA SHULE YA WASICHANA YA UTUMISHI,GILGIL.
Wanafunzi 16 wamedhibitishwa kufariki dunia kwenye mkasa wa moto, katika shule ya wasichana ya Utumishi Senior Academy uko Gilgil kwenye kaunti ya Nakuru. Kulingana na idara ya upelelezi dci na…
