JAMII YA KALENJI YATAKIWA KUIMARISHA UMOJA NA KUEPUKA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Mbunge wa Kapseret, Oscar Kipchumba Sudi, ametoa wito kwa jamii ya Kalenjin kuimarisha umoja na mshikamano, akisisitiza kuwa siasa za mgawanyiko kati ya maeneo ya North Rift na South Rift…
