LAGAT ATEMA MOTO KWA WAHUNI NA WAGEMAJI
Naibu Inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat, ameta onyo kali kwa makundi ya wahuni, akisema yatakabiliwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika eneo la Moi’s Bridge kaunti ya Uasin…
Naibu Inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat, ameta onyo kali kwa makundi ya wahuni, akisema yatakabiliwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika eneo la Moi’s Bridge kaunti ya Uasin…
Maelfu ya wafanyikazi wa umma wanatarajiwa kuanza kupokea nyongeza ya mishahara kuanzia Agosti mosi mwaka huu, baada ya waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku, kutangaza utekelezwaji wa ongezeko hilo.…
Waziri wa elimu Julias Migos Ogamba, amesema kucheleweshwa kwa fedha za ufadhili wa serikali kwa Dhule, Vyuo vya kiufundi, TVET pamoja na Vyuo Vikuu vya umma, kunatokana na upungufu wa…
Ufaransa yaambulia patupu kwenye mchuano wa nusu fainali dhidi ya Uhispania. Lakini je Uhispania inatosha kutwaa kombe la dunia Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema timu yake ilionesha mchezo wa kiwango…
Kenyan Afro-pop sensation Nadia Mukami has intensified preparations for her highly anticipated "10 Years of Nadia Mukami" concert, set to take place on August 1 at Mass House in Nairobi.…
Popular Rift Valley MC and entertainer DJ Nosh, famously known as The Valley Boy, has challenged artists to think beyond performances and streaming by embracing branded merchandise as an additional…
Uhispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia la Fifa 2026 baada ya kuipiga kumbo Ufaransa kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa mjini Dallas, Marekani.…
Maamlaka ya kudhibiti bei za mafuta na kawi EPRA, imewahakikishia wakenya kuhusu kufanya kipaumbele maslahi ya wateja ili kuhakikisha kwamba hawaathiriwi na mabadiliko ya bei za mafuta. Ni kutokana na…
Huduma za afya nchini zinatarajiwa kutatizika baada ya Muungano wa Vyama Vya Wafanyikazi wa Sekta ya afya kutangaza mgomo wa Kitaifa kuanzia Julai 20 mwaka huu. Katika taarifa yao muungano…
Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu. Ufaransa ambayo imeishaingia…