MBUNGE WA SIGOR ATOA WITO WA KUFUNGULIWA KWA MASOKO YALIYOFUNGWA KUFUATIA VISA VYA UTOVU WA USALAMA
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong ametoa wito kwa magavana kutoka kaunti za bonde la Kerio kuhakikisha masoko yote yanafunguliwa ili kutoa fursa kwa wenyeji kuendeleza shughuli za kibiashara Kulingana na…
