MDHIBITI WA BAJETI AMEONYA KUWA BILI YA SHILINGI BILIONI 524.8 AMBAZO HAZIJALIPWA ZINADUMAZA UCHUMI
Bajeti ya maendeleo ya serikali ya kitaifa inafikia Shilingi bilioni 612.98, kumaanisha bili ambazo hazijalipwa sasa karibu inamaliza mgao wote wa serikali.Mdhibiti wa bajeti ya serikali Magret Nyakango amesisitiza kuwa…
