Mwakilishi wa akina mama katika kaunti ya Trans Nzoia, Lilian Siyoi, amemkosoa Waziri wa Kilimo, Mutahi Kagwe, kwa kile ametaja kuwa utepetevu kwenye mchakato wa usambazaji wa mbolea kwa wakulima.
Akichangia hoja bungeni Siyoi amesema kuchelewa kwa mbolea Siyoi, amemkosoa Waziri wa kilimo, Mutahi Kagwe, kwa kile ametaja kuwa utepetevu katika mchakato wa usambazaji wa mbolea kwa wakulima.
Siyoi ameonya kuwa Kenya inaweza kukumbwa na changamoto ya upungufu wa chakula, huku mavuno duni yakitarajiwa katika maeneo yanayolima mahindi kwa wingi, yakiwemo kaunti ya Trans Nzoia.
Aidha amesisitiza umuhimu wa serikali kuweka mipango madhubuti ya kuhakikisha usalama wa chakula nchini, ikiwemo kuwawezesha wakulima kupata mbegu, mbolea na huduma za kilimo kwa wakati.kulisababisha wakulima kuchelewa kupanda, hali ambayo baadaye iliathiri ukuaji WA mazao kutokana na kipindi kirefu cha ukame.
Aidha amesisitiza umuhimu wa serikali kuweka mipango madhubuti ya kuhakikisha usalama wa chakula nchini, ikiwemo kuwawezesha wakulima kupata mbegu, mbolea na huduma za kilimo kwa wakati.

