SENETA WA BARINGO VINCENT CHEMITEI ASHINIKIZA WALIMU WA ELDAMA RAVINE KUPEWA MARUPURUPU YA KUFANYA KAZI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

  • Post category:Local News

Seneta wa  Kaunti ya Baringo, Vincent  Chemitei, ameahidi kushinikiza walimu wanaofanya kazi katika eneo la bunge la Eldama Ravine kujumuishwa katika orodha ya wale  wanaonufaika na marupurupu  ya kufanya kazi…

Continue ReadingSENETA WA BARINGO VINCENT CHEMITEI ASHINIKIZA WALIMU WA ELDAMA RAVINE KUPEWA MARUPURUPU YA KUFANYA KAZI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

TOFAUTI BAINA YA KAMPUNI ZA KENYA POWER NA ILE YA REREC YASABABISHA KUKWAMA KWA MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VIJINI MAARUFU LAST MILE CONNECTIVITY

Mbunge wa Kesses, CPA Julius Rutto, amesema uhaba wa mita za umeme nchini unatokana na sintofahamu kuhusu taasisi inayopaswa kununua vifaa hivyo kati ya Kenya Power na shirika la kusambaza…

Continue ReadingTOFAUTI BAINA YA KAMPUNI ZA KENYA POWER NA ILE YA REREC YASABABISHA KUKWAMA KWA MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VIJINI MAARUFU LAST MILE CONNECTIVITY

KAMATI YA BUNGE KUHUSU HAZINA YA MAENDELEO YA MAENEO BUNGE NG-CDF YATOA RATIBA YA USAMBAZAJI WA FEDHA HIZO KWENYE MAENEO BUNGE YOTE 290 NCHINI

  • Post category:Local News

‎Mbunge wa Eldama Ravine na Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hazina ya maendeleo ya maeneo bunge (NG-CDF), Musa Sirma, amewasilisha rasmi bungeni ratiba ya mgao wa fedha kuelekezwa kwenye maeneo bunge…

Continue ReadingKAMATI YA BUNGE KUHUSU HAZINA YA MAENDELEO YA MAENEO BUNGE NG-CDF YATOA RATIBA YA USAMBAZAJI WA FEDHA HIZO KWENYE MAENEO BUNGE YOTE 290 NCHINI

NAIBU RAIS ATOA HAKIKISHO LA KUIMARISHWA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA YA EL NINO BAADAYE MWAKA HUU

  • Post category:News

Naibu rais Profesa Kithure Kindiki amewahakikishia wakenya kuwa serikali imejipanga kikamilifu kukabiliana na athari za mvua ya El Niño zinazotarajiwa kunyesha nchini, huku akiwataka wananchi kutokuwa na hofu. ‎Akizungumza wakati wa…

Continue ReadingNAIBU RAIS ATOA HAKIKISHO LA KUIMARISHWA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA YA EL NINO BAADAYE MWAKA HUU

End of content

No more pages to load