VIONGOZI WALIO MADARAKANI WANAPASWA KUPEWA MUDA WA KUTOSHA KUKAMILISHA AHADI ZAO
Mbunge wa Nandi Hills, Bernard Kitur, amewahimiza wakazi wa kaunti ya Nandi kuwachagua viongozi wanaotekeleza majukumu yao kwa ufanisi katika uchaguzi ujao. Amesema kuwa kuwarejesha viongozi hao madarakani kutahakikisha miradi…
