NI LAMINE AMA MBAPPE NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA?
Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu. Ufaransa ambayo imeishaingia…
Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu. Ufaransa ambayo imeishaingia…
Wito umetolewa kwa jamii za eneo la Bonde la Kerio kudumisha Amani na umoja na kujitenga na visa ambavyo vinasababisha ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Akizungumza katika hafla ya…
Wakaazi katika kaunti ya Pokot Magharibi, wametoa wito kwa viongozi kuweka kando tofauti zao kisiasa hasa kauli mbiu za massage na 5g ambazo ni mirengo za kisiasa katika kaunti hiyo…
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi Samwel Moroto ameipongeza serikali kuu kwa msaada ambao ilitoa kwa shule ya msingi ya Nasokol kufuatia mkasa wa moto ulioteketeza bweni la…
Lionel Messi na timu yake ya Argentina atakabana koo na Misri kutafuta tiketi ya robo fainali ya Kombe la Dunia. Nyota huyo analenga kuendeleza umahiri wake katika mbio za kutwaa…
Seneta wa Kaunti ya Baringo, Vincent Chemitei, ameahidi kushinikiza walimu wanaofanya kazi katika eneo la bunge la Eldama Ravine kujumuishwa katika orodha ya wale wanaonufaika na marupurupu ya kufanya kazi…
Katika juhudi za kukabili tatizo la utapia-mlo miongoni mwa watoto wachanga katika kaunti ya Elgeiyo Marakwet, wakaazi wa Kaunti hiyo wamehimizwa kukumbatia kilimo cha viazi vitamu. Wito huu umetolewa, huku…
Mbunge wa Eldama Ravine na Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hazina ya maendeleo ya maeneo bunge (NG-CDF), Musa Sirma, amewasilisha rasmi bungeni ratiba ya mgao wa fedha kuelekezwa kwenye maeneo bunge…
Baraza la wazee wa jamii ya Pokot limeelezea kutamaushwa na kisa cha uvamizi na wizi wa mifugo katika eneo la Ombolion Pokot Kaskazini, swala wanalodai linachangiwa na kuwepo kwa silaha…
Mbunge wa Sigor, Peter Lochakapong, ameibuka kinara wa utendakazi miongoni mwa wabunge wa Kaunti ya Pokot Magharibi, kulingana na utafiti wa hivi punde wa Infotrak. Matokeo ya utafiti huo yanaonyesha…