SERIKALI YAHIMIZWA KUJIANDAA KIKAMILIFU KWA KIPINDI KIGUMU CHA BAA LA NJAA KUFUATIA KUANGAMIA KWA MAZAO SHAMBANI KUTOKANA NA UKOSEFU WA MVUA

  • Post category:Local News

Mwaniaji wa kiti cha uwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Baringo,Rebecca Lomong, ameihimiza serikali kuanza maandalizi ya kukabiliana na uwezekano wa uhaba wa chakula kufuatia miezi kadhaa ya kukosekana kwa…

Continue ReadingSERIKALI YAHIMIZWA KUJIANDAA KIKAMILIFU KWA KIPINDI KIGUMU CHA BAA LA NJAA KUFUATIA KUANGAMIA KWA MAZAO SHAMBANI KUTOKANA NA UKOSEFU WA MVUA

MBUNGE WA TIATY WILIAM KAMKET AENDELEA KUSHINIKIZA MFUMO WA DEMOKRASIA YA MAAFIKIANO KATI YA ENEO BUNGE LAKE NA BARINGO KASKAZINI

Mbunge wa Tiaty, William Kamket, amependekeza mfumo wa demokrasia ya maafikiano kati ya maeneo ya tiaty na baringo kaskazini kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Kamket amesema Tiaty iko tayari…

Continue ReadingMBUNGE WA TIATY WILIAM KAMKET AENDELEA KUSHINIKIZA MFUMO WA DEMOKRASIA YA MAAFIKIANO KATI YA ENEO BUNGE LAKE NA BARINGO KASKAZINI

VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA TRANS-NZOIA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA KUWAWEZESHA VIJANA BADALA YA KUWATUMIA VISIVYO

Seneta wa Trans -Nzoia, Allan Chesang, amewataka viongozi wa kisiasa kuacha kuwatumia vijana kutekeleza vitendo vya vurugu na uhalifu wa kisiasa kwa manufaa yao. ‎Chesang amesema badala ya kuwahusisha vijana…

Continue ReadingVIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA TRANS-NZOIA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA KUWAWEZESHA VIJANA BADALA YA KUWATUMIA VISIVYO

End of content

No more pages to load