SERIKALI YAHIMIZWA KUJIANDAA KIKAMILIFU KWA KIPINDI KIGUMU CHA BAA LA NJAA KUFUATIA KUANGAMIA KWA MAZAO SHAMBANI KUTOKANA NA UKOSEFU WA MVUA
Mwaniaji wa kiti cha uwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Baringo,Rebecca Lomong, ameihimiza serikali kuanza maandalizi ya kukabiliana na uwezekano wa uhaba wa chakula kufuatia miezi kadhaa ya kukosekana kwa…
