VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA TRANS-NZOIA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA KUWAWEZESHA VIJANA BADALA YA KUWATUMIA VISIVYO
Seneta wa Trans -Nzoia, Allan Chesang, amewataka viongozi wa kisiasa kuacha kuwatumia vijana kutekeleza vitendo vya vurugu na uhalifu wa kisiasa kwa manufaa yao. Chesang amesema badala ya kuwahusisha vijana…
