GAVANA KACHAPIN ATOA WITO KWA WENYEJI NA VIONGOZI KUKUMBATIA UJIO WA CHUO KIKUU POKOT MAGHARIBI
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi, simon kachapin, amesema mipango ya kuanzisha chuo kikuu katika kaunti hiyo inaendelea vyema, akisisitiza kuwa mradi huo ni muhimu katika kuboresha upatikanaji wa elimu…
