WANANDOA WAKAMATWA KWA KUMPIGA MPWA WAKE HADI KUFA KWA WIZI WA MAHINDI
Maafisa wa upelelezi mjini Eldoret wamemkamata mjomba na shangazi wanaodaiwa kutoa adhabu ya kifo kwa mpwa wao mwenye umri wa miaka 19, Kevin Kipkorir Meli, katika kisa cha kutatanisha kilichotokea…
