ASENALI YAZIDI KUJIANDAA
Mchezajiw a klabu ya Asenali Jurrien Timber ameondoka kambini nchini Hispania kwa miadi iliyokuwa imepangwa awali jijini London kama sehemu ya mpango wake wa matibabu ya majeraha ya nyonga (groin).…
Mchezajiw a klabu ya Asenali Jurrien Timber ameondoka kambini nchini Hispania kwa miadi iliyokuwa imepangwa awali jijini London kama sehemu ya mpango wake wa matibabu ya majeraha ya nyonga (groin).…
Kenya's National Women's Football team, the Harambee Starlets, have safely arrived in Morocco ahead of the start of the 2026 CAF Women's Africa Cup of Nations (WAFCON), with the squad…
Klabu ya Asenali, imekamilisha uhamisho wa mchezaji Christons Tzolis kutoka klabu ya Club Brugge, Arsenal imedhibitisha kunasa saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24, raia wa taifa la…
Shirikisho la soka nchini Norway imetangaza kuwa itawasilisha malalamiko rasmi kwa kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, haya ni kufuatia uwamuzi wa kusitisha adhabu kwa mchezaji wa…
Shirikisho la soka hapa nchini la vilabu ambazo zinashiriki ligi kuu ya humu nchini, zimekubaliana kutengeneza kamati ya mpito ya wanachama 7 itakayoandaa mpango wa kuanzisha mfumo huru wa wasimamizi…
Klabu ya AFC Leopards, imemsajili mshambulizi Musa Ceesay, Ceesay mwenye umri wa miaka 24, raia wa taifa la Gambia, ametia saini mkataba wa miaka miwili na Klabu ya AFC Leopards,…
Zaidi ya wanafunzi 800 katika Kaunti ya Trans-Nzoia, wameukumbatia mchezo huo wa sataranji kwa maana ya chess, kama njia moja wapo ya kukabiliana na ongezeko la matumizi ya skrini na…
Kiungo wa Argentina, amesema timu yao ilifanya kazi kubwa kuiwakilisha nchi licha ya kadi nyekundu na matukio mbalimbali yaliyozua mjadala. Kungo wa Argentina Enzo Fernandez amesema timu yake iliwakilisha nchi…
Uhispania kileleni kwenye viwango vya FIFA baada ya kutwaa Kombe la Dunia. Mexico, Norway na Marekani zikipanda kwa kasi kubwa. Uhispania imepanda hadi nafasi ya kwanza kwenye viwango vya FIFA baada ya…
As millions of football fans around the world tuned in for the FIFA World Cup 2026 Final, Aperit FM proudly joined the global celebration by delivering an exciting live broadcast…