KUSHINDWA KWA KENYA KWANZA OLKALAU HAIDHIHIRISHI KUPOTEZA KWENYE UCHAGUZI UJAO
Mwakilishi wa akina mama kaunti ya Pokot Magharibi Rael Kasiwai Aleutum, amesema kuwa kushindwa kwa kenya kwanza katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou ni tukio ambalo halipaswi kutafsiriwa kama mwelekeo…
